PERHAPS A GIFT VOUCHER FOR MUM?: MOTHER'S DAY

Close Notification

Your cart does not contain any items

Kwa Nini Mtoto wa Mchungaji Alikataa Kuenda Kanisani

Grace Zuzo

$26.95   $24.46

Paperback

Not in-store but you can order this
How long will it take?

QTY:

Swahili
IngramSpark
26 January 2023
Chuaro alilelewa katika eneo la mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini. Kwa masomo yake ya shule ya upili, alihudhuria shule ya bweni katika kijji cha Transkei ambapo watu waliishi maisha ya kizamani. Yeye na marafiki zake walifikiri wasichana katika maeneo hayo ya mashambani walikuwa wajinga kwa sababu hawakuvaa kama wao na walisumbuka zaidi kwamba wasichana hawakufunika matiti yao. Jumamosi moja alasiri walipokuwa wakitembea, walikutana na wasichana wa mashambani na kuwauliza kwa nini hawakuvaa sidiria au blauzi. Wakati huohuo, wasichana wa jiji walijifunza kwa njia ngumu kwamba hawa wasichana wa vijijini walikuwa na akili sana, na kuwafanya watilie shaka akili zao wenyewe.

By:  
Imprint:   IngramSpark
Country of Publication:   United States
Dimensions:   Height: 216mm,  Width: 216mm,  Spine: 2mm
Weight:   77g
ISBN:   9781088089590
ISBN 10:   1088089593
Pages:   32
Publication Date:  
Recommended Age:   From 1 to 12 years
Audience:   Children/juvenile ,  English as a second language
Format:   Paperback
Publisher's Status:   Active

See Also