Chuaro alilelewa katika eneo la mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini. Kwa masomo yake ya shule ya upili, alihudhuria shule ya bweni katika kijji cha Transkei ambapo watu waliishi maisha ya kizamani. Yeye na marafiki zake walifikiri wasichana katika maeneo hayo ya mashambani walikuwa wajinga kwa sababu hawakuvaa kama wao na walisumbuka zaidi kwamba wasichana hawakufunika matiti yao. Jumamosi moja alasiri walipokuwa wakitembea, walikutana na wasichana wa mashambani na kuwauliza kwa nini hawakuvaa sidiria au blauzi. Wakati huohuo, wasichana wa jiji walijifunza kwa njia ngumu kwamba hawa wasichana wa vijijini walikuwa na akili sana, na kuwafanya watilie shaka akili zao wenyewe.
By:
Grace Zuzo Imprint: IngramSpark Country of Publication: United States Dimensions:
Height: 216mm,
Width: 216mm,
Spine: 2mm
Weight: 77g ISBN:9781088089590 ISBN 10: 1088089593 Pages: 32 Publication Date:26 January 2023 Recommended Age: From 1 to 12 years Audience:
Children/juvenile
,
English as a second language
Format:Paperback Publisher's Status: Active